Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Chado master hanifa .mmetulia sana .kazi mzuli sana from sauth africa
😂😂😂😂utajiri gani uyo wakumtesa mwenziyo kisa utajiri niatari sana 😢😢😢
Daah maskin khanifah😢😢😢😢,pole kw vibok,chadooo kula nyama nyamaza
Kaz nzur brother
From kenya nimechelew kidogo but naomba kalike
Mthihani gani huo😢heri ni zeeke gulf lkn sio kwa Hali iyo😢😢
😂😂😂😂😂chado nakukubali mutizi wangu kabisa unajuwa kuigiza you make me to be happy for this movie my name is Chris from south Africa 🇿🇦 furahai maisha
Jaman nawaombea wote tuvuke mwaka salama🙏🎉🎉❤
Yanii chado ni mzuli sana ❤ kama unamkubali gonga likes👊
Kwanza pole sana namsiba
Sawa ngadaya 😂😂😂😂 naona Leo unakula vitu 😂😂😂
Pole chado kwa mitihani innalillah wainnaillah rajoon
Asa innalillah ya nn wakati kataka mwenyew
😅😅@@HusseinkwasaKwassa
Jamanii wanaume wote wangekuwa na upendowa dhat kwa wake zao Kama chado basi wanawake tungeweka kifua mbele
Hakika
Kazi nzuri sana Mr chado pokea Maua yako 🎉🎉🎉❤
Mungu atusaidie sana Maana so kwa maswwhibu haya 😭😭
😂😂😂😂dah mzmu nao unabambiaa mmh hii kl ya mwaka
May the Almighty God make it easy for us to search and be able to get rid of worldly desires
Hili nifunzo kwawanao taka vya uteremko jaman tujihadhar na pesa zisizo zitolea jasho
Kabisa funzo tena kubwa
Kabisa umesema hapo ,na nikweli wako wengi Sana wanatesa watu was jui ya pesa😢
Ni kweli
Sasa cha ajaabu ninini hapa
Nimecheka eti watoto 2000..punquzeni umalaya 😂😂😂😂😂😂😂ila kweli
kweli sana
Tena sana
Ongera sana hanifa umecheza vizurii sana ila chado kabadilika sana
Hii ni funzo wanaume wenye hampendi kujituma 😢 daddy mwananmke kakufwata wamkataa😂😂 chado pole sna
Hanifa umejua kuigiza dah
Chado unaupiga mwingi unaanza ku enjoy life 😂😂😂
Aise big up sana chado master 🎉🎉🎉
Vitu vya kufurahishaa umeletewa na unaambiwa tulia upew vituu😂😂😂
Achakazi iendelee...Mr chadoooooohhhhh....!!!!By Mr okay 1time
Respect to you Chado master.. Best series ever🫡🫡
Yaan chado nakupenda hujui tu 😂😂😂❤❤
Kwanza Pole saaaaan bro kwa mtihani inalilah wainalilah rajuun
kudadadeki ngadaya jini mtoto nae anakula burudani haaaaaaa Chado shenzi sana ww, unamaliza gb zang kila ck adi kieleweke🥰🥰🥰❤❤💯💥
Jamani tunaomba muendelezo wa moyo wa chuma
kwa leo nmejrb hongera kwangu
Ngadaya leo kapig vitu vyake🤣🤣
Leo nimewahi jaman kazi nzur sanaa
Mizimu nayo pia yacheza magoma😂😂😂😂😂hatari lakini salama
Dah mbn moyo umeniuma sn km vle n kweli nmejkut choz linadondoka bl kutarajia
Oya gonga laki Kama ulisikia mkongo baba Aki sema safi sana petit yangu😅😅
Hhhh watoto wa 2000 awoo ni atary kabis asant chado kwa kuwajuilia😅😅😅😅😅😅😅😅
Ilikuja mwenyewe imerid menyewe😅😅😅😅imeolewa eeh😂😂
Kazi nzuri brother chado unajali sana 🎉🎉🎉
Mnamuelewa mganga ati umeolewa😂😂😂😂😂
Ewaa kumekcha pande izi za mr Chado ajazoea kulal n wanawake 2
Gedaya umesahahu kuwa wew ni mzimu😂😂😂😂
Mr chado hapa huna ujanja umewezekana kweli😂😂
Kabisa
Pole kwa matatizo bro chado master
Kwa wapenz wa series ya ploblem 🎉Tujuane 😂😂😂😂kwa like za kutosha🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chado😂😂😂 ati hei hei 🙌 # problems izo si problem...tuchume vya halali aisee
Zombi linakupa copo 😅😅duh wametisha
Mbona masharti madogo ingawaje yafaa kujitolea maana daaaahh!
Good job from Zanzibar
Utajiri wa mateso Mungu niepushe good job chadoo
Ngadaya killed me😂😂😂😂😂,aaaaaah 🙌🙌🙌🙌
Welcome back chado pole Kwa msiba
Dah anifa anateseka jaman utajiri utoke kwa mungu
Umelala nao usharidhika pamekucha unawachamba Ila mganga noma😂😂
Kwa iyo Ngadaya nae anapata burudani😂😂😂
Tenaàáâãa
@@Mr.Edward-dl7nkTenaaa 😂😂😂
Tenaaa mzimu unapenda ngono
Hapo sasa na nimuzimu
Ety😂
Mwenzangu hata raha ya pesa zenyewe huioni kwa stail hii mmm nimejikuta nalia aisee😭😭😭
Pole kwa hayo but tamaa ni mbaya chado
Kumb pesa zitapatkna kwa tabu hivyooo yaaan mkeo umbutue kama Mbwa afu uletew malaya aseee 😢😢😢
Ata mbwa uwezi kumpiga hivyo
Khaaa😂😂😂
Hii movie imefanya nmedondokwa n machozi inasikitisha sna n nmejifunza ktu hpo
😂😂😂😂vitoto vya 2000 ivo no bikra no ndoa😂😂😂
🤣🤣🤣🤨🤣🤣
Damu inatuchemka mda wote vinatuwasha😂😂😂
Mzimu na wenyewe unajua kucheza 😂😂😂😂😂
😅😂jini analuka mziki na kubambia juu c hatar iyo
Mwamba gadaya kwenye ubora😂😂😂😂😂
Mi naumia kweli kuhusu anifa tena kwenye viboko duhh
Mbona mthihan mdogo sana chado m naweza
Ngadaya me naona wivu😂😂❤
Ko moyo wa chuma ndo basi tena heheheyaaaaa chado kam chado
Ngadaya ni jini la kidigital yani anayajua mambo mazuri nae 😂😂😂😂😂 ndo i like
Naona Mr chado unakula laha na ngadaya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MGANGA NIMEMUELEWA ANAJUA SANA🎉😂😂
alafu handsame kinoma yani 😘😂😂😂
Wakwanza from 🇲🇿🇲🇿
Kyombo ikyoooh ❤jamani wakwanza kwetu lubumbashi DRC 🇨🇩🇨🇩 nipe tuma likes uchoyo apana
🎉🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wa kwanza leo
😂😂😂 watoto wa 2000 wanapenda 💦💦💨
😂😂😂ya leo Kali chado🎉🎉🎉
We msimshike chado wangu nyie pimbi😅
Ngadaya kambabia then akamuachia chado ale mizigo😂😂😂😂😂😂
Kumbe kadaya anajua kucheza Ivo kaniacha oiii😂😂😂
Another one 🎉🎉🎉nakubali chado
Inauma,sana ,bora upate kimono kuliko,utajiri wa machoz😢
Congratulations chado 🎉 with your team your very talented 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Duh picha inafunzo sanai
Afuu huyuu mwnye rastaa mbn kama anaonekanaa nd kaz yakee na kazoeyaaa😂😂😂 au me tyu nd naonaa vbyaa😂😂💔
Da so vinzur atajiskia vibaya😊
Hii scene Imeniumiza sana alivyompga hanifa Dah had nimelia 😢😢😭😭😭😭
Alie mpenda mdoli wa mgaga makopa juuu ❤❤😂🎉
😅😅
Mizim wauzunguni wanacheza na mdem dua sana
Ngadaya me nakupenda mno
Duuh mtihn sana haya màisha mmmh❤🇹🇿
Mbona ulikuwa umecha Chelsea chado na❤❤❤ hii tamsiliya
Chado kula nyama nyamazaaa😂😂
Kama unamkubali chado gonga likes zenu hapa love from burundi 🇧🇮 ❤❤❤❤
number seven!love from burundi❤❤❤
Gedaya mzimu kumbe anaujua mzk bhana😅
Weeee wacheni nioshe vyombo vyawarabuu hali hiii apana😢
Unajua sana chado🥰🥰
Kadaya we nani kakuruhus ushike wengine 😢😂sijapend😮
Yaan mm kama ningekuwa chado nikipewa fimbo naanza na wao
😂😂😂😂😂😂
Watayayuka😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂uyakanyange tena 😂
Hii noma 😂jini anacheza😂
Chado master hanifa .mmetulia sana .kazi mzuli sana from sauth africa
😂😂😂😂utajiri gani uyo wakumtesa mwenziyo kisa utajiri niatari sana 😢😢😢
Daah maskin khanifah😢😢😢😢,pole kw vibok,chadooo kula nyama nyamaza
Kaz nzur brother
From kenya nimechelew kidogo but naomba kalike
Mthihani gani huo😢heri ni zeeke gulf lkn sio kwa Hali iyo😢😢
😂😂😂😂😂chado nakukubali mutizi wangu kabisa unajuwa kuigiza you make me to be happy for this movie my name is Chris from south Africa 🇿🇦 furahai maisha
Jaman nawaombea wote tuvuke mwaka salama🙏🎉🎉❤
Yanii chado ni mzuli sana ❤ kama unamkubali gonga likes👊
Kwanza pole sana namsiba
Sawa ngadaya 😂😂😂😂 naona Leo unakula vitu 😂😂😂
Pole chado kwa mitihani innalillah wainnaillah rajoon
Asa innalillah ya nn wakati kataka mwenyew
😅😅@@HusseinkwasaKwassa
Jamanii wanaume wote wangekuwa na upendowa dhat kwa wake zao Kama chado basi wanawake tungeweka kifua mbele
Hakika
Kazi nzuri sana Mr chado pokea Maua yako 🎉🎉🎉❤
Mungu atusaidie sana
Maana so kwa maswwhibu haya 😭😭
😂😂😂😂dah mzmu nao unabambiaa mmh hii kl ya mwaka
May the Almighty God make it easy for us to search and be able to get rid of worldly desires
Hili nifunzo kwawanao taka vya uteremko jaman tujihadhar na pesa zisizo zitolea jasho
Kabisa funzo tena kubwa
Kabisa umesema hapo ,na nikweli wako wengi Sana wanatesa watu was jui ya pesa😢
Ni kweli
Sasa cha ajaabu ninini hapa
Nimecheka eti watoto 2000..punquzeni umalaya 😂😂😂😂😂😂😂ila kweli
kweli sana
Tena sana
Ongera sana hanifa umecheza vizurii sana ila chado kabadilika sana
Hii ni funzo wanaume wenye hampendi kujituma 😢 daddy mwananmke kakufwata wamkataa😂😂 chado pole sna
Hanifa umejua kuigiza dah
Chado unaupiga mwingi unaanza ku enjoy life 😂😂😂
Aise big up sana chado master 🎉🎉🎉
Vitu vya kufurahishaa umeletewa na unaambiwa tulia upew vituu😂😂😂
Achakazi iendelee...Mr chadoooooohhhhh....!!!!
By Mr okay 1time
Respect to you Chado master.. Best series ever🫡🫡
Yaan chado nakupenda hujui tu 😂😂😂❤❤
Kwanza Pole saaaaan bro kwa mtihani inalilah wainalilah rajuun
kudadadeki ngadaya jini mtoto nae anakula burudani haaaaaaa Chado shenzi sana ww, unamaliza gb zang kila ck adi kieleweke🥰🥰🥰❤❤💯💥
Jamani tunaomba muendelezo wa moyo wa chuma
kwa leo nmejrb hongera kwangu
Ngadaya leo kapig vitu vyake🤣🤣
Leo nimewahi jaman kazi nzur sanaa
Mizimu nayo pia yacheza magoma😂😂😂😂😂hatari lakini salama
Dah mbn moyo umeniuma sn km vle n kweli nmejkut choz linadondoka bl kutarajia
Oya gonga laki Kama ulisikia mkongo baba Aki sema safi sana petit yangu😅😅
Hhhh watoto wa 2000 awoo ni atary kabis asant chado kwa kuwajuilia😅😅😅😅😅😅😅😅
Ilikuja mwenyewe imerid menyewe😅😅😅😅imeolewa eeh😂😂
Kazi nzuri brother chado unajali sana 🎉🎉🎉
Mnamuelewa mganga ati umeolewa😂😂😂😂😂
Ewaa kumekcha pande izi za mr Chado ajazoea kulal n wanawake 2
Gedaya umesahahu kuwa wew ni mzimu😂😂😂😂
Mr chado hapa huna ujanja umewezekana kweli😂😂
Kabisa
Pole kwa matatizo bro chado master
Kwa wapenz wa series ya ploblem 🎉
Tujuane 😂😂😂😂kwa like za kutosha
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Chado😂😂😂 ati hei hei 🙌 # problems izo si problem...tuchume vya halali aisee
Zombi linakupa copo 😅😅duh wametisha
Mbona masharti madogo ingawaje yafaa kujitolea maana daaaahh!
Good job from Zanzibar
Utajiri wa mateso Mungu niepushe good job chadoo
Ngadaya killed me😂😂😂😂😂,aaaaaah 🙌🙌🙌🙌
Welcome back chado pole Kwa msiba
Dah anifa anateseka jaman utajiri utoke kwa mungu
Umelala nao usharidhika pamekucha unawachamba Ila mganga noma😂😂
Kwa iyo Ngadaya nae anapata burudani😂😂😂
Tenaàáâãa
@@Mr.Edward-dl7nkTenaaa 😂😂😂
Tenaaa mzimu unapenda ngono
Hapo sasa na nimuzimu
Ety😂
Mwenzangu hata raha ya pesa zenyewe huioni kwa stail hii mmm nimejikuta nalia aisee😭😭😭
Pole kwa hayo but tamaa ni mbaya chado
Kumb pesa zitapatkna kwa tabu hivyooo yaaan mkeo umbutue kama Mbwa afu uletew malaya aseee 😢😢😢
Ata mbwa uwezi kumpiga hivyo
Khaaa😂😂😂
Hii movie imefanya nmedondokwa n machozi inasikitisha sna n nmejifunza ktu hpo
😂😂😂😂vitoto vya 2000 ivo no bikra no ndoa😂😂😂
🤣🤣🤣🤨🤣🤣
Damu inatuchemka mda wote vinatuwasha😂😂😂
Mzimu na wenyewe unajua kucheza 😂😂😂😂😂
😅😂jini analuka mziki na kubambia juu c hatar iyo
Mwamba gadaya kwenye ubora😂😂😂😂😂
Mi naumia kweli kuhusu anifa tena kwenye viboko duhh
Mbona mthihan mdogo sana chado m naweza
Ngadaya me naona wivu😂😂❤
Ko moyo wa chuma ndo basi tena heheheyaaaaa chado kam chado
Ngadaya ni jini la kidigital yani anayajua mambo mazuri nae 😂😂😂😂😂 ndo i like
Naona Mr chado unakula laha na ngadaya😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MGANGA NIMEMUELEWA ANAJUA SANA🎉😂😂
alafu handsame kinoma yani 😘😂😂😂
Wakwanza from 🇲🇿🇲🇿
Kyombo ikyoooh ❤jamani wakwanza kwetu lubumbashi DRC 🇨🇩🇨🇩 nipe tuma likes uchoyo apana
🎉🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wa kwanza leo
😂😂😂 watoto wa 2000 wanapenda 💦💦💨
😂😂😂ya leo Kali chado🎉🎉🎉
We msimshike chado wangu nyie pimbi😅
Ngadaya kambabia then akamuachia chado ale mizigo😂😂😂😂😂😂
Kumbe kadaya anajua kucheza Ivo kaniacha oiii😂😂😂
Another one 🎉🎉🎉nakubali chado
Inauma,sana ,bora upate kimono kuliko,utajiri wa machoz😢
Congratulations chado 🎉 with your team your very talented 🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤
Duh picha inafunzo sanai
Afuu huyuu mwnye rastaa mbn kama anaonekanaa nd kaz yakee na kazoeyaaa😂😂😂 au me tyu nd naonaa vbyaa😂😂💔
Da so vinzur atajiskia vibaya😊
Hii scene Imeniumiza sana alivyompga hanifa Dah had nimelia 😢😢😭😭😭😭
Alie mpenda mdoli wa mgaga makopa juuu ❤❤😂🎉
😅😅
Mizim wauzunguni wanacheza na mdem dua sana
Ngadaya me nakupenda mno
Duuh mtihn sana haya màisha mmmh❤🇹🇿
Mbona ulikuwa umecha Chelsea chado na❤❤❤ hii tamsiliya
Chado kula nyama nyamazaaa😂😂
Kama unamkubali chado gonga likes zenu hapa love from burundi 🇧🇮 ❤❤❤❤
number seven!love from burundi❤❤❤
Gedaya mzimu kumbe anaujua mzk bhana😅
Weeee wacheni nioshe vyombo vyawarabuu hali hiii apana😢
Unajua sana chado🥰🥰
Kadaya we nani kakuruhus ushike wengine 😢😂sijapend😮
Yaan mm kama ningekuwa chado nikipewa fimbo naanza na wao
😂😂😂😂😂😂
Watayayuka😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂uyakanyange tena 😂
Hii noma 😂jini anacheza😂